Magazeti ya Kenya Jumatatu Septemba 16: McDonald Mariga ajipata kwenye darubini ya DCI
Habari za kuhuzunisha kuhusu kifo cha kinyama cha mkwasi Tob Cohen, ndio taarifa inayoendelea kupatiwa uzito katika magazeti ya Jumatatu, Septemba 16, magazeti haya yanaripoti kuhusu wataalam walivyoweza kupata mwili wa tajiri huyo.